10 libri per 10 euro qui
Bookbot

Jarida juu ya Maisha ya MwAfrika katika huduma ya Ukristo

Maggiori informazioni sul libro

Yaliyomo ni kazi za Jim Harries alizoandikwa tangu mwaka wa 2006 mpaka 2019. Maandishi yake yanaangalia sana utumizi wa lugha kwa huduma ya Ukristo kwa bara la Afrika. Anataja mada mengine pia; utume, mafunzo ya Bi- blia, utamaduni wa Kiafrika, maendeleo, uchawi, nk. Alipendelea ayaweke ma- andishi yake pamoja ndani ya kitabu kimoja. Jim anatumaini maandishi yake yatakuwa himizo kwa wenyeji wa Afrika ya Mashariki kuandika maono ambayo wamepewa na Bwana, na yale waliojifunza kulingana na huduma yao.

Acquisto del libro

Jarida juu ya Maisha ya MwAfrika katika huduma ya Ukristo, Jim Harries

Lingua
Pubblicato
2019
product-detail.submit-box.info.binding
(Copertina rigida)
Ti avviseremo via email non appena lo rintracceremo.

Metodi di pagamento